Monday, December 2, 2013

HIVI NDIVYO WAPENZI WA SIMBA WALIVYOMPOKEA KOCHA MPYA ALIYERITHI MIKOBA YA KIBADENI MTAA KLABU YA SIMBA SC.

 
Kocha huyo akikabidhiwa taji la maua na mashabiki baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Dar leo.

Akipata menu.....

Kocha huyo akiongozana na baadhi ya viongozi wa Simba wakati alipotembelea na kukagua uwanja wa mazoezi wa Klabu hiyo wa Kinesi.Picha kwa Hisani ya Lenzi ya Michezo

Mashabiki wa Timu ya Simba, wakimpokea kwa shangwe na nderemo, kocha wao mpya aliyetua nchini jana machana.


No comments: