Wednesday, February 26, 2014

BREAKING NEWZ---KINACHOENDELEA MLIMANI CITY MUDA HUU---UZINDUZI WA KAMPENI YA TAIFA YA KUSAMBAZA UELEWA WA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA KWA WANANCHI

 
Mgeni Rasmi Bi.Maafudha Hamidu akiwa amewasili katika ukumbi  
 burudani za muziki wa kiafrika maarufu kama makilikili kikiwa jukwaani kwaajiri ya mapokezi ya mgeni rasmi
 Kikundi cha muziki kutoka haki za binadamu kikiwa kinatumbuiza kumpokea mgeni rasmi akiwa anaingia
Baadhi ya Watu wakiwa wanampokea mgen rasmi kwa kupiga makofi
 Baadhi ya vikundi vya walemavu wa ngozi wakiwa wamefika kushuhudia uzinduzi  huo
 Kikundi cha vimbwanga kikiwa kinawndelea kutoa burudani kwaajiri ya kuweka ukumbi katika hari ya furaha
Mgeni rasmi akiwa amewasili na kuketi katika meza kuu
 kikundi cha vibwagizo kikiwa kina toa kibwagizo cha bunge la katiba

No comments: