Tuesday, February 25, 2014

PICHA NNE ZA CHADEMA NA KAMPENI ZA KUSAKA UBUNGE HUKO KALENGA,

Mgombea akisalimiana na wananchi wa Magulilwa

Mgombea Grace Tendega akisalimiana na wakazi Kijiji cha Magulilwa baada ya mkutano wa kampeni

Kamanda Mawazo akiwa na makamanda wa Magulilwa wakiimba na kucheza kabla ya mkutano wa kampeni

Katibu Mkuu akifurahia jambo na mtoto mdogo wa Kijiji cha Magulilwa baada ya mkutano wa Magulilwa

No comments: