Friday, April 11, 2014

HII NDIO AJALI ALIYOIPATA ALEX MSAMA WA MSAMA PROMOTION

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama amepata ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka wakati akielekea mkoani Dodoma.Chazo cha ajali
kilitokana na yeye kumgonga kijana aliyekua akiendesha basikeli na matokeo yake gari aliyokua akiendesha kupinduka mara 3.Kwa sasa Msama anapatiwa matibabu katika hospitali moja mjini Dodoma.
Picha zote kutoka kwenye Istagram ya mchekeshaji Steve Nyerere
Alex msama akiwa hospitalini baada ya ajali.Kulia ni mwenyekiti wa bongo movie Steve Nyerere 
                           
              
Alex Msama akiwa hospitali baada ya ajali. Kulia ni 
Mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere.
- See more at: http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2014/04/alex-msama-apata-ajali.html#.U0gUf6Ku5uZ
Alex Msama akiwa hospitali baada ya ajali. Kulia ni 
Mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere.
- See more at: http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2014/04/alex-msama-apata-ajali.html#.U0gUf6Ku5uZ
                                                                                
Alex Msama akiwa hospitali baada ya ajali. Kulia ni 
Mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere.
- See more at: http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2014/04/alex-msama-apata-ajali.html#.U0gUf6Ku5uZ
Alex Msama akiwa hospitali baada ya ajali. Kulia ni 
Mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere.
- See more at: http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2014/04/alex-msama-apata-ajali.html#.U0gUf6Ku5uZ 

No comments: