Thursday, May 29, 2014

HABARI ILIYOWAHUZUNISHA WATANZANIA WENGI LEO--MSANII RECHO AAGWA VIWANJA VYA LEADERS KATIKA PICHA

Wasanii wa Bongo muvi ambao walikuwa ni watu wa karibu wa Recho
Wasanii wa Bongo muvi ambao walikuwa ni watu wa karibu wa Recho.
Sehemu lilipowekwa jeneza la msanii Recho.
Sehemu lilipowekwa jeneza la msanii Recho.
Mwenyekiti wa Bongo muvi akitoa hotuba wakati wa kumuaga msanii Recho
Mwenyekiti wa Bongo muvi akitoa hotuba wakati wa kumuaga msanii Recho
Mchungaji pamoja na katekista waliendesha misa katika viwanja vya leaders jijini Dares salaam

Mchungaji pamoja na katekista waliendesha misa katika viwanja vya leaders jijini Dares salaamMume wa Marehemu Recho akilia kwa uchungu.
Mume wa Marehemu Recho akilia kwa uchungu.
Mamia ya wananchi wamejitokeza kumuaga msanii Recho
Wasanii wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Recho.Mamia ya wananchi wamejitokeza kumuaga msanii Recho
Wasanii wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Recho.
Wasanii JB pamoja na Dr Cheni wakitoa heshima za mwisho
Wasanii JB pamoja na Dr Cheni wakitoa heshima za mwisho
Vicent Kigosi maarufu kama Ray akimuaga msanii Recho.
Vicent Kigosi maarufu kama Ray akimuaga msanii Recho.

No comments: