Wednesday, June 18, 2014

BASI LA NEWS FORCE LAUA WATU WAWILI PAPO HAPO NA KUJERUHI ZAIDI YA 30 HUKO MBEYA JIONI HI

Basi la New Force Muda muda mchache baada ya kupata Ajali


Taarifa zilizotufikia Muda huu kutoka Igurusi zinasema Basi la New Force lililokuwa likitoka Dar es salaam kuja Mbeya limepata Ajali Mbaya eneo la Igurusi na kusababisha Vifo vya watu wawili hapo hapo.



Imeelezwa kuwa watu hao walikuwa wakitembea kwa miguu na kujeruhi wengine zaidi ya 30 ambao wanakimbizwa Hospitali sasa na kusaidiwa.

No comments: