Monday, June 30, 2014

breaking newzz--PICHA--NAIBU KATIBU MKUU CUF BARA ANUSURIKA KATIKA AJALI

Naibu Katibu m kuu mpya wa CUF pia Mbunge wa viti Maalum Magdalena Sakaya akimshukuru Mungu baada ya kunusurika katika ajali na Lori kwenye makutano ya barabara ya Mandela na Nyerere Dar leo jumatatu ambapo ajali hiyo imetokea,magdalena sakaya amechaguliwa juzi kushika nafasi hiyo ya unaibu katinu mkuu wa CUF baada ya JULIUS MTATIZRO kutolewa katika nafasi hiyo

No comments: