Saturday, August 23, 2014

HILI NDILO KOMBE WALILONYAKUA REAL MADRID NDANI YA ARDHI TA TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akimkabidhi Kombe Nahodha wa magwiji wa Real Madrid ya Hispania, baada ya kuwafunga magwiji wa Tanzania mabao 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana

Rais Kikwete akimkabidhi mpira Reuben De La Red baada ya kufunga mabao yote ya Real Madrid

Nahodha wa Real Madrid akiinua juu Kombe lao 

Rais Kikwete katika picha ya pamoja na magwiji wa Tanzania

Rais Kikwete katika picha ya pamoja na magwiji wa Real Madrid

No comments: