Ilikuwa ni katika jaribio la wizi ambapo majambazi hao walimpiga risasi ya kifua mtu mmoja kabla ya kumpora katika
Maeneo ya kiwanda cha
Serengeti kilichopo
Temeke jijini Dar es Salaam.Kabla ya kufanikiwa tukio hilo, majambazi hao
walikurupushwa na Polisi na kukamatwa wakiwa na Bastola pamoja na risasi nne.
Baada ya kukamatwa majambazi hao wamepelekwa kituo cha Polisi
Chang’ombe kilichopo temeke.
Chanzo: SHUHUDA .....Kwa taarifa kamili kutoka jeshi la Polisi
itawajia hivi punde.:
No comments:
Post a Comment