Friday, August 1, 2014

PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI – MBEYA

PG4A8000
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua kongamano la
uwekezaji  la Nyanda za Juu kusini  kwenye ukumbi wa Mkapa jijini
Mbeya August 1, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A8077
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Mkuu wa mkoa wa Mbeya,
Abbas Kandoro  (kushoto) na Mkuu wa WIlaya ya Wanging’ombe,, Esterina
Kilasi  kutoka kwenye ukumbi  wa Mkapa jijini Mbeya  baada  ya
kufungua Kongamano  la Uwekezaji la Kanda ya Nyanda za Juu Kusini
August 1, 2014. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: