Saturday, August 23, 2014

USIPITWE NA HILI WALILOLIFANYA MANGULI WA REAL MADRID ASUBUHI YA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Meya wa manispaa ya konondoni YUSUPH MWENDA pamoja na baadhi ya wachezaji wa real madrid wakikata utepe kuashiria kuwa wamefungua rasmi duka hilo la vifaa mbalimbali vya umeme la TROPICAL CENTER lilopo jijini Dar es salaam
Ni duka kubwa la vifaa vya umeme ambalo limezinduliwa leo jijini Dar es salaam na wachezaji wa zamani wa timu maarufu duniani ya REAL MADRID duka ambalo liko maeneo ya Victoria hapa jijini .
Showroom hii ya vifaa mbalimbali vya umeme inaitwa TROPICAL CENTE imezinduliwa rasmi na meya wa kinondoni mstahiki YUSUPH MWENDA pamoja na wachezaji wa real madrid wa zamani ambao wapo hapa nchini kwa ziara yao ya kukuza utalii wa Tanzania na mahusiano mema ya timu na nchi hizi.


CRISTIAN KAREMBEU mchezaji wa zamani wa Real madrid akizungumza na kutoa shukrani zake baada ya hafla hiyo fupi iliyofanyika asubuhi ya leo jijini  dar es salaam ya kufungua rasmi duka kubwa la vifaa vya umeme la TROPICAL CCENTER jijini 
Wachezaji wa real madri wakiwasili katika uzinduzi huo leo









Wadau wakifurahia vinywaji baada ya uzinduzi huo

No comments: