Tuesday, September 23, 2014

BREAKING NEWZ--YAMETIMIA BUNGE LA KATIBA



MH. CHENGE AWASILISHA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA.

Hayawi hayawi yamekuwa sasa. Ile KATIBA INAYOPENDEKEZWA yatoka rasimi leo.
Imekabidhiwa kwa Mwenyekiti na kesho (24/09/2014) itawsilishwa rasmi kwenye Bunge zima la Katiba.
Pichani Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalum la Katiba Mhe. Andrew Chenge akimkabidhi Mwenyekiti wa Bunge hilo Mhe. Samuel Sitta Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa wakati wa kikao cha Kamati ya Uongozi cha Bunge hilo leo (23/09/2014).
Kamati ya Uandishi imemaliza kazi ya kuandaa Rasimu hiyo na inatarajiwa kusomwa Bungeni kesho.


No comments: