Friday, February 27, 2015

TIGO YATOA UDHAMINI KWA WASHINDI WA TIGO NGORONGORO RUN KUSHIRIKI TIGO KILI HALF MARATHON 2015

WAKI1Mwanariadha Alphonce Felix akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati kampuni ya Tigo ilipotangaza udhamini kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon. Pembeni kulia ni .Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles na Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha.WAKI2Mwanariadha Mary Naali akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati kampuni ya Tigo ilipotangaza udhamini kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon. Pembeni kulia ni .Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles na Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na kushoto ni Meta Petro Mjumbe toka riadha Tanzania pia ni kocha wa wanariadha hao.

WAKI3Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro. Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.WAKI4Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles (nyuma katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wanariadha walioshinda mbio za Tigo Ngorongoro Run Marathon mwaka jana mara baada ya kutangaza udhamini wa Kampuni ya Tigo kwa wanariadha hao kushiriki mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon zitakazofanyika tarehe 1 machi Moshi Mkoani Kilimanjaro. Pembeni kulia mstari wa nyuma ni John Wanyancha Meneja wa Mawasiliano wa Tigo.
WAKI5WAKI6Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akipeana mkono na Alphonce Felix mara baada kutangaza udhamini wa Kampuni ya Tigo kwa wanariadha walioshinda mbio za Tigo Ngorongoro Run Marathon mwaka jana waweze kushiriki mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon zitakazofanyika tarehe 1 machi Moshi Mkoani Kilimanjaro. Pembeni anayeshuhudia ni Mwanariadha Mary Naali.

No comments: