Monday, May 18, 2015

RAIS WA MSUMBIJI AKIWA ZANZIBAR

1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Msumbiji Mhe,Filipe Jacinto Nyusi alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume akiwa nchini kwa  ziara ya kikazi,
[Picha zote na Ikulu]
2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimtambulisha   Rais wa Msumbiji Mhe,Filipe Jacinto Nyusi alipokuwa akisalimiana na Mawaziri wa Zanzibar mara alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume akiwa nchini kwa  ziara ya kikazi

3
   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitambulishwa na Rais wa Msumbiji Mhe,Filipe Jacinto Nyusi aliposalimiana na Mawaziri mbali mbali wa Serikali ya Msumbiji walioungana na Rais Filipe mara baada ya mapokezi   walipowasili katika uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume  kwa  ziara ya kikazi Nchini.
4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Rais wa Msumbiji Mhe,Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya mapokezi akiwa na ujumbe wake walipowasili katika uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume akiwa nchini kwa  ziara ya kikazi,
5
Rais wa Msumbiji Mhe,Filipe Jacinto Nyusi akipokea salamu ya Heshma ya Gwaride la JWTZ akiwa naMwenyeji wake   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume akiwa nchini kwa  ziara ya kikazi,
6
Rais wa Msumbiji Mhe,Filipe Jacinto Nyusi akiangalia ngoma ya kibati akiwa naMwenyeji wake   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume akiwa nchini kwa  ziara ya kikazi.
7
Rais wa Msumbiji Mhe,Filipe Jacinto Nyusi akikagua  Gwaride la JWTZ mara baada ya kupokea salamu ya Heshma alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume akiwa nchini kwa  ziara ya kikazi wakati wa mapokezi yake ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Viongozi mbali mbali walifika uwanjani hapo kwa mapokezi maalum,
8
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Rais wa Msumbiji Mhe,Filipe Jacinto Nyusi alipofika Ikulu Mjini Zanzibar katika ziara ya kikazi nchini akiwa na ujumbe wake,
9
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na mgeni wake  Rais wa Msumbiji Mhe,Filipe Jacinto Nyusi baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu Mjini Zanzibar katika ziara ya kikazi nchini akiwa na ujumbe wake,

No comments: