Thursday, May 28, 2015

TIGO NA HUAWEI ZATOA MSAADA WA KOMPYUTA 10 NA HUDUMA YA INTANETI KWA SHULE YA MSINGI CHUDA MKOANI TANGA

ta1
Meneja Mahusiano kwa Umma wa kampuni ya Huawei Jin Liguo akiongea na waandishi , Walimu na Wanafunzi wa Shule ya msingi Chuda wakati wa sherehe za kukabidhi kompyuta 10 zenye inteneti ya bure ya Tigo kwa shule hiyo iliyopo mkoani Tanga, Msaada huo ulitolewa na Kampuni ya Tigo kushirikiana na Kampuni ya Huawei. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani Goodluck Charles ,Mwalimu Mkuu wa Shule ya Chuda Omari Masukuzi na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula.
ta2
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani Goodluck Charles akikabidhi msaada wa  Kompyuta zenye intaneti ya bureya Tigo kwa  Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Chuda Mkoani Tanga Bw. Omari Masukuzi hiyo ni moja kati ya kompyuta 10 zilitolewa na kampuni ya Tigo pamoja na Huawei kwa shule hiyo. Wanaoshuhudia wa pili toka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula, Meneja wa Mawasiliano kwa Umma wa Huawei  Jin Liguo na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe.Abdallah Suleiman.
ta3
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani Goodluck Charles akiongea na waandishi , Walimu na Wanafunzi wa Shule ya msingi Chuda wakati wa sherehe za kukabidhi kompyuta 10 zenye inteneti ya bure ya Tigo kwa shule hiyo iliyopo mkoani Tanga, Msaada huo ulitolewa na Kampuni ya Tigo kushirikiana na Kampuni ya Huawei. Wengine kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa Tanga Mhe. Magalula Said, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Chuda Omari Masukuzi.
ta4
Wanafunzi wa shule ya Msingi Chuda Mkoanin tanga wakipokea Kompyuta kwa niaba ya wenzao ambazo zilitolewa na kampuni za Tigo na Huawei.
ta5
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika hafla hiyo
Meneja Uwajibikaji kwa Jamii wa Kampuni ya Tigo Bi. Woinde Shisael akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula na Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe.Abdallah Suleiman wakati wa sherehe za kukabidhi msaada wa kompyuta 10 kwa  shule ya msingi Chuda Mkoani Tanga leo
ta6
Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula akiongea na waandishi , Walimu na Wanafunzi wa Shule ya msingi Chuda wakati wa sherehe za kukabidhi kompyuta 10 zenye inteneti ya bure ya Tigo kwa shule hiyo iliyopo mkoani Tanga
ta7
Mwalimu wa shule ya Chuda Bi.Teddy Simba akipokea simu kwa niaba ya wenzake toka kwa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula. Simu hizo zitawaweza walimu wa shule hiyo kuweza kuwasiliana wao kwa wao na kuperuzi intaneti  bila gharama yeyote kwa kupitia mtandao wa Tigo.

No comments: