Thursday, June 25, 2015

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONANA NA BALOZI WA ITALY NCHINI TANZANIA KWA MAZUNGUMZO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Italy Nchini Tanzania, Luigi Scotto, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 25, 2015 kwa ajili ya mazungumzo. Picha na OMR

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Italy nchini Tanzania, Luigi Scotto,  wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 25, 2015 kwa mazungumzo. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja kwa kumbukumbu na Ballozi wa Italy nchini Tanzania, Luigi Scotto (wa pili kushoto), baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 25, 2015. Kushoto ni Mkurugenzi  wa Idara ya Ulaya na Marekani, Balozi Joseph Sokoine (kulia) ni Msaidizi wa Balozi wa Italy, Michelangela Adamo. Picha na OMR


No comments: