Sunday, August 30, 2015

Tizama jinsi wasanii hawa walivyojitokeza jana kwenye kampeni za UKAWA

Bob juniour
Jana katika viwanja vya jangwani katika ile uzinduzi wa Kampeni nilikutana na baadhi ya wasanii ambao walikuwa wanamsapot mgombea huyo,wamo wa music na wasanii wa kuigiza yani bongo movie,unaweza kutizama baadhi ya picha zao wakuwa kwenye shughuli ile.
Juma nature,soggydogy na msaga sumu

Joyce Kiria na ant ezekiel


















No comments: