Tuesday, September 29, 2015

Lowasa Aendelea Kutikisa Tanga leo,Tizama Hii ya mchana

Msafara wa mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha democrasia na maendeleo chadema anayeungwa mkono na vyama vinne vya UKAWA mchana wa leo imemlazimu kusimama muheza Tanga baada ya mamia ya wakazi wa maeneo hayo kuzuia msafara wake ili tu kumuona na kumsikia.Hapa kuna picha za awali ,picha zaidi za mikutano yake leo zitakujia baadae






No comments: