Saturday, September 26, 2015

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein Atowa Mkono wa Eid El Hajj kwa Wazee wa Welezo na Sebleni Zanzibar

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif Ali Iddi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa Jamii Zanzibar Bi Asha Abdalla wakiongozana na mlezi wa Wazee Welezo wakiwasili katika viwanja vya Makaazi ya Wazee Welezo Unguja kumuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, kutowa Mkono wa Eid kwa Wazee hao kusherehekea Sikukuu hiyo ya Eid El Hajj.

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha akizungumza na Wazee wa Welezo wakati alipofika katika makaazi yao kuwajulia hali na kutoa mono wa Eid El Hajj kwa Wazee hao kwa Niaba na Mama Mwanamwema Shein.
Wazee wa Makaazi ya Wazee Welezo Zanzibar wakimsikiliza Mama Asha wakati alipofika katika makaazi ya Wazee Welezo kuwatembelea na kutoa Mkono wa Eid El Hajj kwa Wazee hao.  
Wazee wa Makaazi ya Wazee Welezo Zanzibar wakimsikiliza Mama Asha wakati alipofika katika makaazi ya Wazee Welezo kuwatembelea na kutoa Mkono wa Eid El Hajj kwa Wazee hao
Kwa Niaba ya Wazee wanaoishi Makaazi ya Wazee Welezo Mzee Shein Kombo akitowa shukrani kwa niaba ya wazee wezake kwa Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, kwa kuwajali na kuwatembelea mara kwa mara anapopata nafasi kuja kuwajuliana hali na kujua shida zao,  
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, akitowa mkono wa Eid El Hajj kwa Wazee wa Welezo kwa Niaba ya Mama Mwanamwema Shein, 
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, akimjulia hali na kumpa mkono wa Eid El Hajj Mzee Chui anayeishi katika makaazi ya Wazee Welezo Zanzibar 
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, akimjulia hali Bi Riziki anayeishi katika Nyumba za Makaazi ya Wazee Welezo wakati alipowatembelea na kutoa mkono wa Eid kwa wazee hao kwa niaba na Mama Mwanamwema Shein.

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif akizungumza na Wazee wa Makaazi ya Wazee Sebleni Zanzibar, alipofika kuwatembelea na kutoa mkono wa Eid El Hajj kwa niaba ya Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein.  
Wazee wa Makaazi ya Wazee Sebleni Zanzibar wakimsikiliza Mama Asha Balozi wakati alipowatembelea na kutoa mkono wa Eid El Hajj. 
Wazee wa Makaazi ya Wazee Sebleni Zanzibar wakimsikiliza Mama Asha Balozi wakati alipowatembelea na kutoa mkono wa Eid El Hajj. 
Wazee wa Makaazi ya Wazee Sebleni Zanzibar wakimsikiliza Mama Asha Balozi wakati alipowatembelea na kutoa mkono wa Eid El Hajj. 
Mzee Omar akisoma Dua wakati wa hafla hiyo 
Wazee wakiitikia dua. 
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi akitowa mkono wa Eid El Hajj kwa Wazee wa Nyumba Sebleni Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Ustawi wa Jamii Ndg Asha Abdalla akitowa mkono wa Eid kwa Wazee wa Makaazi ya Wazee Sebleni Zanzibar kwa niaba ya Mama Mwanamwema Shein.
Imetayarishwa na Othmanmapara.Blogspot. zanzinews.com. 

No comments: