Sunday, September 27, 2015

Picha za wakina LOWASA na UKAWA walichokifanya nyumbani kwa MREMA Vunjo

Mgombea ubunge jimbo la Vunjo Mhe. James Mbatia akiongea na wananchi wa Kahe jimbo la Vunjo katika viwanja vya Oria shule ya msingi leo Jumapili 27/09/2015 

Mhe. Edward Ngoyai Lowassa na Mhe. Fredrick Sumaye wakiwasili katika viwanja vya Oria shule ya msingi na kupokelewa na mgombea wa ubunge kwa jimbo la Vunjo kupitia NCCR Mageuzi,leo Jumapili 27/9/2015






 





Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiongea na wananchi wa Himo katika viwanja vya Himo Polisi leo Jumapili 27/09/2015 

No comments: