Friday, November 27, 2015

BALOZI SEFUE KUHUSU KUSIMAMISHWA KAZI KAMISHNA MKUU TRA

on1Katibu mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue akizungumza na waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari hawapo pichani kuhusu upotevu wa makontena zaidi ya 349 huku akiwa ameshika nyaraka yenye orodha ya makontena hayo.
on2.Katibu mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue akionesha nyaraka hiyo mbele ya waandishi wa habari waliofika kwenye mkutano huo.
on3Katibu mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue wakwanza kushoto akifafanua jambo mbele ya wanahabari.
msi1

No comments: