Thursday, March 31, 2016

SPIKA WA BUNGE AKUATANA NA VIONGOZI WA JUMUIYA YA AHMADIYYA MUSLIM JAMAAT TANZANIA

jam01
. Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akisalimiana  na Kiongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya Muslim Jamaat Tanzania Sheik Tahir Mahmoud aliyemtembelea pamoja na viongozi wenzake Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
jam2
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizungumza na Viongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya Muslim Jamaat Tanzania waliomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.Wa kwanza kulia ni Kiongozi wa Jumuiya hiyo nchini Sheik Tahir Mahmoud.

No comments: