Mbunge wa jimbo la Ukonga, Mwita Waitara, akimkabidhi madawati mwalim Mkuu msaidizi wa Shule ya Msingi Kerezange dar es Salaam.
Mbunge wa jimbo la Ukonga, Mwita Waitara, akimkabidhi mpira mwalimu wa michezo wa shule ya Msingi Kilimani, Abdull Mukhusin, iliyopo Kipunguni wakati alipoenda kukabidhi madawati kwa shule tatu.
Mbunge wa jimbo la Ukonga, Mwita Waitara akisalimiana na wanafunzi wa shule ya msingi Kilimani iliyopo Kipunguni wakati alipoenda kukabidhi madawati kwa shule tatu za jimbo lake.
Mbunge wa jimbo la Ukonga, Mwita Waitara akiongea na wanafunzi wa Shule ya msingi Kilimani iliyopo Kipunguni wakati alipoenda kukabidhi madawati kwa shule tatu za jimbo lake.
Picha na Mpiga Picha Wetu
No comments:
Post a Comment