Friday, December 23, 2016

CHADEMA WABUNI MBINU MPYA YA KUMSAKA BEN SAANANE

Vijana wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa chama cha CHADEMA wakiwa wamevalia Tishet zenye ujumbe wa kumtaka Ben Saa nane akiwa Hai ambaye amekuwa akisakwa kila kona kwa kuhisiwa kupotea yapata mwezi sana.
Habari mbalimbali mitandaoni zimekuwa zikieleza kuwa Ben alipotea bila kujulikana alipo huku wengine wakihisi kuwa  kuwa ametekwa na baadhi ya wapinzani wake kisiasa 

No comments: