Monday, January 2, 2017

Haya ndio mambo makubwa yaliyojiri katika soko la hisa kwa mwaka 2016



Kampuni tano ambazo ziliongoza kwa kupanda kwa bei ya hisa zake katika soko la hisa
ACA
9810
5830
68%
KA
130
100
30%
NMB
2750
2500
10%
TOL
800
760
5%
JHL
10260
9530
8%





Mwaka 2016 tulipata kampuni tatu ambazo zilihorodhesha hisa zake katika soko la hisa la Dar es salaam
Yetu Microfinance
Mufindi Community Bank -MUCOBA Bank
Dar es Salaam Stock Exchange PLC (DSE)
Na kampuni mbili ambazo zilihorodhesha hati fungani zake katika soko la hisa ambazo ni
EXIM Bank LTD
National Microfinance Bank Plc- NMB Bank
Mnamo mwishoni mwa 2016 makampuni matatu ya simu yaliwasilisha maombi ya kuuza hisa na kuziorodhesha katika soko la hisa ambayo ni
Vodacom Tanzania Ltd
MIC (TIGO) Ltd
Airtel Tanzania Ltd
Makampuni haya yanatarajia kuuza na kuhorodhesha hisa zake mwaka huu 2017

No comments: