Monday, January 30, 2017

Zimetufikia Habari mbaya za Kupigwa Risasi kwa Mwenyekiti wa CCM Mbeya

Mwenyekiti was CCM wilaya ya Mbeya mjini ndugu Ephrahim Mwaitenda akifikishwa hospitali ya Rufaa mkoa wa Mbeya asubuhi ya leo Jumatatu Januari 30,2017
Kulia ni kaimu Katibu wa CCM Mkoa wa Mbeya ndugu Lobe Zongo akimpokea Mwaitenda katika Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mbeya baada ya kudaiwa kupigwa risasi. Chanzo Kalulunga blog


Taarifa zaidi tutawaletea hivi punde

No comments: