Monday, February 27, 2017

Breasking Newz--LEMA MGUU NJE MGUU NDANI,MAHAKAMA IMEAMUA HAYA LEO

Mahakama ya Rufaa imetupilia mbali mapingamizi (rufaa) ya Serikali dhidi ya maamuzi ya Mahakama Kuu kwa msingi kwamba hayana mashiko na kuiagiza Mahakama Kuu kuendelea na utaratibu wake wa kutoa haki ya dhamana mapema iwezekanavyo!
Kutoka kushoto (viongozi wa CHADEMA): Mwenyekiti Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa; Katibu Mkuu Vincent Mashinji, Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe na Katibu wa Mkoa wa Arusha Kalisti Lazaro.


No comments: