Tuesday, February 28, 2017

MASHINDANO YA TIGO KILI HALF MARATHON YANOGA MJINI MOSHI


Mshindi wa kwanza  upande wa wanaume wa mbio za kilometa 21,Tigo Kili Half marathon, Emmanuel Giniki kutoka Tanzania akimaliza mbio hizo, mwishoni mwa wiki iliyopita mkoani Kilimanjaro.

Mshindi  wa kwanza upande wa wanawake  wa mbio za kilometa 21 ,Tigo Kili Half marathon, Grace Kimanzi kutoka Kenya akimaliza mbio hizo zilizofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Moshi, Kilimanjaro.





Mdau Alex akifurahi mara baada ya kumaliza mbio za kilometa 21 katika Tigo kili Half Marathon zilizofanyika mwishoni wa wiki iliyopita
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel akimvalisha medali   Mshindi wa kwanza  upande wa wanaume wa mbio za kilometa 21,Tigo Kili Half marathon, Emmanuel Giniki kutoka Tanzania  mwishoni mwa wiki iliyopita mkoani Kilimanjaro.

Washindi wa mbio za kilomita 21 zilizofadhiriwa na Tigo kwenye Kili marathon wakiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimba
.Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini, George Lugata akitoa neno la shukrani kwa washiriki wa Kili marathon na wananchi waliojitokeza kwenye mashindano hayo yaliyofanyika Moshi, Kilimanjaro

.Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini, George Lugata (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Tigo walioshiriki mbio za Tigo  KiliHalf Marathon, mashindano hayo yaliyofanyika Moshi, Kilimanjaro

No comments: