Sunday, March 5, 2017

BAWACHA WATOA MSAADA TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD


Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) jana wametoa msaada wenye thamani ya Sh 900,000 katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road ikiwa ni katika maadhimisho ya wiki ya Wanawake Duniani.
Akikabidhi msaada huo leo, Mbunge wa Vitu Maalum Chadema Suzan Lyimo amesema msaada huo ni pamoja na kifaa cha kuwekea nguo za wagonjwa chenye thamani ya Sh 600,000.
Picha na Vicent Macha



No comments: