Monday, May 8, 2017

SHEIKH HEMED JALALA AWALILIA WATOTO WALIOPATA AJALI ARUSHA



Wakati leo Tanzania na Dunia Ikishugudia Kuagwa kwa wanafunzi zaidi ya 32 wa shule ya Msingi LuckyVicent wakiagwa nkoani Arusha naye Kiongozi Mkuu wa kiroho wa Waislam wa dhehebu la Shia ITHNASHERIYA Tanzania Sheikh Hemed Jalala ametuma Salamu kwa Watanzania na wazazi waliondokewa na wapendwa wao.


Katika Salamu hizo alizozitoa Mbele ya wanahabari Leo Sheikh Jalala amesema kuwa huu ni msiba wa Taifa lote na Dunia kwani Tumewapoteza wasomi wa Baadae ambao wangekuwa na Faida kwa Taifa Hivyo ni Jukumu la watanzania Kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu ili wapumzike kwa amani,

Sheikh Jalala amewwataka Watanzania kudumisha Umoja na amani katika Kipindi hiki Kigumu 

No comments: