Saturday, July 22, 2017

UCHOKOZI WA IDRIS SULTANI BAADA YA ZARI KUANDAMWA NA MISIBA

Baada ya Zari ambae ni Mama watoto wa mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumzkufiwa na Mama yake mzazi na picha za msiba kusambaa, baadhi ya watu walianza kucomment na kupost kwenye Instagram na kusema ni msiba lakini Zari hajaonekana na sura ya majonzi.
Kila mmoja ameichukulia kwa mtazamo wake lakini Mtangazaji wa 102.5 CHOICE FM Dar es salaam na Mchekeshaji Idris Sultan ametumia time yake kuandika yafuatayo baada ya kuona watu wamezidi kumuandama Zari.
“Fanya chochote ila usiache kulia msibani, hawa Wabongo wanahesabu hadi machozi na high tone na low tone za mlio wa Mfiwa, utasikia pale amepanda key yupo soprano anakuja bass sasa hivi then sauti ya 3” #SioHabari


No comments: