Sunday, February 18, 2018

MATOKEO KAMILI YA UCHAGUZI WA SIHA CCM WAIBUKA VINARA

Tokeo la picha la picha matokeo ya uchaguzi siha


Mgombea Dkt. Godwin Mollel (CCM) ameibuka mshindi wa kiti cha ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro uliofanyika jana Jumamosi, Feb 17, 2017.

Ikitangaza matokeo hayo, Tume ya Uchaguzi (Nec), imesema Dkt. Mollel amepata kura 25,611 dhidi ya kura 5,905 alizopata Elvis Mosi wa CHADEMA, kura 274 alizopata Tumsifueli Mwanri wa CUF na kura 170 alizopata Azaria wa SAU.

No comments: