Tuesday, September 25, 2012

Tanzania kuongoza kikosi cha Jeshi la Kimataifa DRC

Tanzania imepewa jukumu la kusimamia na kuongoza kikosi cha jeshi la kimataifa la nchi za maziwa makuu lisiloegemea upande wowote litakalokuwa Mpakani mwa DRC na Rwanda.Hii ina tafsiri gani kwa jeshi letu na nchi yetu? Je ila Sifa ya JWTZ iliyojengwa na Mwalimu kipindi kile bado ipo hadi leo au haya mataifa yanaendelea kuamini hivyo wakati sio kweli? Au ni kweli Jeshi letu bado lipo makini na madhubuti hasa ukizingatia bado linashiriki katika operesheni nyingi za kulinda amani kimataifa?

No comments: