Wednesday, October 3, 2012

Tigo Yamwaga Zawadi Kibao Kwenye Shindano la Tigo Fiesta 2018 Chemsha Bongo Trivia

Mshindi wa Shindano la Tigo Fiesta 2018  Chemsha Bongo Trivia , Zam Mohammed Zam wa Mombasa Unguja akipokea shilingi milioni moja kutoka kwa Msimamizi wa Kampuni ya Tigo tawi la Zanzibar, Adolph Mapenzi baada ya kushinda katika promosheni hiyo, makabidhiano hayo yalifanyika katika ofisi za Tigo ziliopo Malindi Unguja

Mshindi wa Shindano la Tigo Fiesta 2018 Chemsha Bongo Trivia toka Mkoa wa Tanga, William Alloyce Mganga(katikati)
akikabidhiwa zawadi ya simu aina ya Tecno Camon X toka kwa Meneja Mauzo wa Tigo mkoa wa Tanga, Robert Kasulwa(kulia) na kushoto ni Msimamizi wa Duka la Tigo mkoa wa Tanga Hassani Nkua. Ili 
kushiriki wateja wanapaswa kutuma neno MUZIKI kwenda 15571 au kutembelea tovuti ya  http://tigofiesta.co.tz na kuchagua Trivia.


No comments: