Thursday, March 7, 2013

tuungane na bi aisha sururu kuwafariji wakazi wa majohe



Mwanaharakati kutoka katika Shirika lisilo la
kiserikali la Aisha Sururu Foundation na Diwani viti maalum katika Manispaa ya
ilala Mh, Aisha Sururu akiangalia baadhi ya vitabu vya wanafunzi vilivyoharibiwa
na Kimbunga kilicho ambatana na Mvua kubwa maeneo ya Majohe jijini Dar es Salaam
wakati alipofanya Ziara maeneo hayo




                      Bi Aisha pamoja na Baadhi ya viongozi wa kata
              ya Majohe wakiangalia jinsi Upepo huo ulivyo athiri maeneo ya Kata
                                                                   hiyo




Hapa kulikuwa ni Makazi ya Mtu lakini Upepo
umefanya paonekane kama ni Shamaba la kulimwa




Bi, Aisha Sururu akizungumza na waandishi wa
habari baada ya ziara hiyo

No comments: