Friday, April 12, 2013

JK azindua mradi wa miundombinu ya umeme dodoma




mcc7 411fd

Rais Jakaya Kikwete akibofya kitufe huku akishuhudiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), Daniel Johannes na  Balozi wa Marekani nchini Alfonso Lendhardt wakishuhudia uzinduzi huo wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa miundombinu ya kusambaza umeme mkoani Dodoma katika kijiji cha Mkoka, wilaya ya Kongwa, Dodoma




mcc6 d0448

Rais Jakaya Kikwete akifunua pazia huku Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), Daniel Johannes na Balozi wa Marekani nchini, Alfonso Lendhardt wakimpongeza kwa uzinduzi wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa miundombinu ya kusambaza umeme mkoani Dodoma chini ya ufadhili ya serikali ya Marekani kupitia MCC katika kijiji cha Mkoka, wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma

mcc9 94ae3

Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), Daniel Johannes katika picha ya pamoja na viongozi na wadau mbalimbali katika sherehe ya uzinduzi wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa miundombinu ya kusambaza umeme mkoani Dodoma chini ya ufadhili ya serikali ya Marekani Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali na Afisa Mtendaji Mkuu wa kupitia MCC katika kijiji cha Mkoka, wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma (Picha zote na Muhidin Muchuzi)

 

No comments: