Wednesday, June 19, 2013

uUJIO WA OBAMA MAJANGA KWA FANYA BIASHARA POSTA WATIMULIWA ASUBUHI KUPISHA JIJI LIWE SAFI


Wafanyabiashara  wa  magazeti  jijini Dar eneo la POsta mpya  wakiwa wamerejea  eneo hilo mbali ya kufukuzwa na mgambo  wa  jiji kutokana na zoezi la kusafisha  jiji hilo ili kujiandaa kwa ujio  wa Rais wa Marekan Barack Obama ,biashara  zote  eneo hilo zimepigwa marufuku na maeneo mengine ambayo msafara  wa Obama utapita
 


No comments: