Tuesday, September 10, 2013

AJALI MBAYA ARUSHA LEO,WATATU WAFARIKI HAPO HAPO

IMG-20130910-WA0025.jpg

        Lori moja la mizigo lililokua limebeba mahindi kupeleka nairobi limepata  ajali mbaya  mkoani arusha iliyosababisha vifo wa watu watatu hapo hapo na mwingine mmoja kujeruhiwa na kupelekwa nairobi kwa matibabu zaidi ambaye ndiye mmiliki wa lori hilo .

        Chanzo chetu cha habari ambacho  hakikutaka jina kutajwa kimeeieleza HABARI24 BLOG kuwa  gari hilo lilikataa break na kwenda kuingia kwenye shimo ambalo wachina walichimba kwaajili ya kuweka daraja .

IMG-20130910-WA0008.jpgizi          Hizi ni baadhi ya picha ambazo shughuda wetu alifanikiwa kuzipata katika eneo la tukio .TUNAOMBA RADHI KWA MUONEKANO USIO ANGAVU SANA WA PICHA HIZO

No comments: