Friday, March 14, 2014

MADEREVA BODABODA NA BAJAJI WAVAMIA OFISI YA CHADEMA MUDA HUU,WAOMBA MSAADA BAADA YA KUNYIMWA KUINGIA MJINI.DK SLAA AWASHA MOTO,JUMATATU WANAANDAMANA

docta slaa alipokuwa anazungumza na madereva hao muda huu wakati akijaribu kuwatuliza hasira zao walipovamia ofisi zake hapa kinondoni



madereva hao wa bodaboda na bajaji wakiitikia peoplee power wakati slaa alipokuwa anazungumza nao

          Madereva wa boda boda leo wameandamana mpaka ofisi za chadema makao makuu kuomba msaada baada ya kupigwa marufuku kufika maeneo ya mjini kufanya kazi zake jambo ambalo wao wamelipinga vikali na kudai wanaonewa sana kwa hilo.baada ya kuzungumza na katibu mkuu wa chadema dk WILBBROD SLAA amewaahidi kuwa jumatatu watakwenda mjini wakiwa nae pamoja na hakuna wa kuwazuia kwani ni haki yao kufanya hivyo.hapa faidi picha mbalimbali za tukio nzima lililotokea muda huu



ulinzi ukiwa umeimarishwa kila kona ya ofisi za makao makuu ya chadema muda huu kuhakikisha kuwa aina yoyote ya fujo haitokei

No comments: