Wednesday, April 16, 2014

BREAKING NEWZZZ: POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUPAMBANA NA WAMACHINGA MBEYA

Picha  na Maktaba
Habari zilizotufikia Hivi Punde zinasema Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya wamelazimika Kutumia Mabomu ya Machozi Kuwatawanya Wafanyabiashara Ndogondogo maarufu Kamam Wamachinga mara baada ya wamachinga hao Kuanzisha Vurugu kubwa. 
       Mwandishi Akielezea zaidi Ameserma Tukio Hilo limetokea Mara baada ya Wamachinga waliondolewa kwenye maeneo yasiyoruhusiwa Kufanya Biashara Walipelekwa Eneo Lingine Maalum kwajili ya Kufanyia Biashara zao Wapo Baadhi ya wamachinga Walikosa Maeneo ya Kufanyia Bishara Ndipo Leo..
Walipowavamia Wamachinga Wenzao waliokuwa wakiendelea na Biashara zao na kuwaletea Vurugu Ili kuwashinikiza Waandamane kwa Pamoja Kwenda Kudai Maeneo zaidi ya Kufanyia Biashara Hali Iliyopelekea Kuzuka Kwa Vurugu Kubwa Na Jeshi la Polisi wakalazimika Kuingilia Kati kwa Kutumia Mabomu ya Machozi Ili kuzuia Vurugu zaidi.

No comments: