Tuesday, April 29, 2014

MTANGAZAJI MAARUFU TSAKA SSALI AMTEBELEA MH LOWASA OFISINI KWAKE LEO

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi1wLu5edhgdnE1MS_Pi2Z98puPtDnn6sy5MBN8T9rQOgOADr0uczHZbre2y73XTGTh7xbrirPsVQk440klGPBVBnRVTMCP73guOvSdoRoohdtI41raDe7cNhbncD647PjXGKPjqdJWmbg/s1600/photo+3.JPG
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akifurahi jambo wakati akiwa katika mazungumzo na mtangazaji maarufu wa Kituo Cha runinga Cha Serikali ya Marekani (VOA),Tshaka Ssali.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgdclwzQrTHn8P6BymGnIfUabTGVFbSd9pifmcjNQu-Sh8f2m3C0r86lF_trqcpYRaSquIxfl7DxNI53qQmTFJcrxzG_agR6raRyCZxC3h4CA56fk85LFYSsWHgTBia7xlvtR_mF9c2-EI/s1600/photo+1.JPG

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akizungumza na mtangazaji maarufu wa Kituo Cha runinga Cha Serikali ya Marekani (VOA),Tshaka Ssali aliemtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo.Ssali ambaye amejijengea umaarufu duniani kwa kuwahoji viongozi maarufu hususan wa Afrika, alimtembelea Mh Lowassa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje.

No comments: