Saturday, April 12, 2014

WAKAZI WOTE WA UBUNGO SOMENI HAPA,UJUMBE ALIOUTUMA MBUNGE WENU TOKA DODOMA JUU YA MAFURIKO

Mafuriko yanayoendelea katika jiji la Dar es Salaam: Nipo bungeni lakini nimepokea taarifa za mafuriko katika maeneo mbalimbali jimboni kama Kibamba, Malambamawili, Makoka nk Nimeshatoa maelekezo kwa Katibu Msaidizi wa Ofisi ya Mbunge Ubungo kufatilia kwa ukaribu na kuzitaarifu mamlaka husika kwa hatua za haraka. Kwa maeneo mengine yenye mafuriko tafadhali mpeni taarifa kupitia: 0715-379542 au 0784-379542
3Like · ·

No comments: