Saturday, June 28, 2014

KAULI YA ADEN RAGE KUELEKEA UCHAGUZI WA SIMBA SC HII HAPA!

http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/rage.jpg
SIMBA SC inatarajia kufanya mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Klabu Kesho Jumapili (Juni 29 mwaka huu), katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Kuelekea katika mkutano huo utapata Rais mpya, makamu wa Rais na wajumbe wapya wa kamati ya utendaji kwa mujibu wa katiba mpya Simba, mwenyekiti wa klabu hiyo, Alhaj Ismail Aden Rage awewatakia kila la heri wanachama wote katika uchaguzi huo.

Akizungumza na  Mtandao huu mchana huu, Rage amesema ana imani uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu ili klabu ipige hatua.

No comments: