Saturday, June 28, 2014

KAMPENI SIMBA ZAKAMILIKA KWA AINA YAKE,WAMBURA AJITKEZA KUMPIGIA KAMPENI TUPA,AVEVA NAYE AAHIDI MAKUBWA SIMBA.PICHA ZOTE HAPA

Mgommbea urais wa simba bw EVANCE AVEVA leo akihitimisha kampeni zake jijini dar es salaam ambapo amewaahidi mambo makubwa sana wana simba kuhakikisha simba inakuja katika ujio mwingine tena,ikiwa ni pamoja na kuwahakikishia wana simba kuwa watapata uwanja wao wenyewe wa kisasa kwa muda mfupi sana.pamoja na kuahidi kuifanya simba kuwa timu ya kimataifa tofauti na sasa

Katika upande mwingine mgombea aliyekuwa anagombea na baadaye kufutwa katika uchaguzi huo bw MICHAEL WAMBURA leo amejitokeza mbele ya wanachama wa simba akimuunga mkono mgombea mwingine wa urasi hapo simba bw ANDREW JULIUS TUPA ambaye anapambana na EVANCE AVEVA,ambapo bw WAMBURA ameataka wanasimba kutokumchagua mtu kutokana na pesa zake bali waitangulize simba kwanza kwa kumchagua TUPA na JULIO kuwa viongozi wapya wa timu hiyo katika uchaguzi ambao utafanyika kesho jijini Dar es salaam



No comments: