Monday, June 9, 2014

MZEE SMALL AZIKWA LEO,PICHA KADHAA ZIPO HAPA

gari lilobeba mwili likiwa njiani

 Mwili wa Mzee Small ukiwa kaburini. HATIMAYE mkongwe wa maigizo nchini, Mzee Small amezikwa katika makaburi ya Segerea, Dar ambapo mamia ya watu wamehudhuria maziko yake.

Mwili wa marehemu ukishushwa kwenye gari


Msafara wa pikipiki na wananchi waliokuwa wanaelekea katika maziko hayo tabata leo mapema leo

No comments: