Thursday, July 24, 2014

AJALI MBAYA ILIYOIUZUNISHA NCHI LEO HII HAPA

UMATI WA WAKAZI WA KIJIJI CHA UCHUNGA WAKITAZAMA AJARI YA FUSO
Watu 3 wamekufa na wengine zaidi ya 47 wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kwenda mnadani kupinduka wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga.

Ajari hiyo imetokea  asubuhi katika eneo la uchunga wilayani humo baada ya gari hilo haina ya fuso namba T680 ARL kuacha njia na kupinduka.

Chanzo cha ajari hiyo ni mwendo kasi na derava wa gari hilo aliyetambulika kwa jina la Shija Ngassa amekimbia  baada ya ajari hiyo

Ajari hiyo ya fuso imesababisha vifo vya watu watatu ambapo moja ametambulika kwa jina la Difa Shimo  mili ya marehemu imehifadhiwa kwenye hospitali ya mkoa wa Shinyanga.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Shinyanga kamishina msaidizi wa polisi Jastus Kamugisha amethibitisha kutokea kwa ajari hiyo.

Kamugisha amesema jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo pamoja na kumsaka dereva wa gari hilo sanajali na kutoa onyo kwa wafanya biashara wa minadani kuacha kupanda magari ya mizigo

No comments: