Monday, July 28, 2014

PICHA: MUONEKANO WA SASA WA UWANJA WA SIMBA SC MAENEO YA BUNJU JIJINI DAR

10565204_713757485357559_2966525263168566247_nKATIKA historia yake, klabu ya Simba haijawahi kuwa na uwanja wake wa mazoezi, hivyo kujikuta anahangaika miaka nenda rudi.
Lakini kwasasa unaweza kusema imedhamiria kujenga uwanja wa mazoezi maeneo ya Bunju jijini Dar es salaam.

No comments: