Monday, September 29, 2014

TASWIRA TOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba, Kapteni John Komba, Bungeni mjini Dodoma Septemba 29, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Fahmi Dovutwa wakiteta, Bungeni Mjini Dodoma Septemba 29, 2014.

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Pandu Ameir kificho (kushoto) na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Iddi wakiteta, Bungeni mjini Dodoma Septemba 29, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Lazaro Nyarandu (kushoto) na Mwigulu Mchemba wakiteta, bungeni Mjini Dodoma Septemba 29, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza, Bungeni Mjini Dodoma Septembe 29, 2014.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta akifafanua kuhusu namna wajumbe wa Bunge hilo watakavyopiga kura, bungeni mjini Dodoma Septemba 29, 2014.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Sheikh Hamid Masoud Jongo akichangia, Bungeni mjini Dodoma, Septemba 29, 2014.

Askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Anglikani nchini na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Donald Mtetmela akichangia Bungeni mjini Dodoma Septemba 29, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Bernard Membe wakiteta kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 29, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: