Wednesday, November 5, 2014

HABARI KUBWA--MATOKEO YA DARASA LA SABA YAPO HAPA,WENGI WAFAULU

DK. CHARLES E. MSONDE AKITANGAZA MATOKEO YA DARASA LA SABA MAPEMA HII LEO OFISINI KWAKE,MSONDA AMESEMA MATOKEO YA MWAKA HUU UFAURU WAKE NI MKUBWA UKILINGANISHA NA  YA MWAKA JANA


Matokeo ya Darasa la 7 kwa mwaka 2014 yametangazwa na Baraza la Mitihani Tanzania Necta ambapo katika matokeo hayo ya mwaka huu yanaonyesha Kiwango cha ufaulu kupanda kwa asilimia 56.99 Tofauti na ufaulu wa mwaka jana ambao ulikuwa Asilimia 51.6 Huku mkoa wa Dar es Salaam ukiongoza.

 HAYA HAPA NDO MATOKEO YENYEWE:

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS




No comments: