Saturday, November 29, 2014

HII NDIO AJALI MBAYA YA NDEGE IL;IYOTOKEA DAR LEO PICHA ZOTE ZIKO HAPA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAipIhlI8ex3lyJ-mPk1Kix3q57jRXW0raBvX4xz2sUm1erwxAOiUs0plcK-NjYz3Jn1N7BMGyoqvv_i9mOoUTv4t12pylH-Ayz17d68nKP4k_DsdYpr0puerX9W5qIKRmSHu_uYjK7-Y/s1600/1794591_10205373005827007_6204134194784841380_n.jpg
Sehemu ya mabaki ya Helikopta baada ya kuangukaAjali
ya Helicopter ya Maliasili na Utalii imegharimu maisha ya marubani
3 wa Jeshi la Polisi Tanzania. Sp Kidai Kaluse,
Insp.Simba Must Simba, Pc. Josso Selestine, Na rubani mmoja Capt.
Khalfan,Ajali  hiyo imetokea huko Kipunguni B Moshi Bar,Ukonga-Ilala
jijini Dar es
Salaam. Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikaa mpaka sasa.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhnkYKfN-ZYp79MR92smsNSn59V5bHfFhzupS5pWRO-gzDhTZqrqiaAhy4b3h3dEP7OCaY0UGnO8n6pyG9YMA3BAV9v6RxD3ylhfI8cyRSgf62Vo92qwno4SGgdjZTzaqjaeFUdZ4ahfSk/s1600/unnamed.jpg
 Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova
akifafanua
jambo mbele ya Vyombo vya habari katika eneo la ajali,kufuatia kutokea
kwa ajali hiyo iliyopelekea vifo vya watu wanne
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiEftmSFx69EFX3tvHHZhczxVi21TklBFb9dKJmOPtkbeXwjLHjnf2wrxAjXXWeHbZxUtxtJVk0o5Ospeff46jH_w4S1s8ZApO3F4BnROGg7omLTozIZsmpm8Sizh01ToUOoCZaSvaQeEQ/s1600/unnamed.jpgj.jpg
 Mkuu
wa Mkoa wa Dar Es Salaa,Mh.Sadick Meck Sadick akizungumza mbele ya
Vyombo vya habari katika eneo la ajali,kufuatia kutokea kwa ajali hiyo
iliyopelekea vifo vya watu wanne
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYRroRI9l3fAd1f2kaXkNsaTooabukaZ_wvTRUS5XviTSYwshrBqsESGk8rQKQvcFXoox_sjR3YljDqux4FoUh-Uu2-zXGhBDHoYHMGvAm8VZ9Xznz3zP1KG0AwqUj3xAaOiSVgsu8U2o/s1600/unnamed.jpgm.jpg
 Baadhi ya Wataalamu wakifanya uchunguzi wa chanzo cha ajali hiyo ya Helikopta.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEir-eyPz4wy_hdR2eW2IYsqBHMyyopr9XH-jzsDPik_feVDl2m_m_9qROyFa3wHSJP3HVXkIONvXGhSxJMyUhfNsqagNsQ7wz0T20wImjXN6HhrYWGDGK_kFIT5OMF1Us109FUIyDlajBM/s1600/10802069_862315180487994_1289925175792270593_n.jpg
 Baadhi ya Watu wakishuhudia mabaki ya helikopta hiyo iliyopata ajali maeneo ya Kipunguni B Moshi Bar,Ilala jijini Dar es
Salaam.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiGcsoRANe3su00TAseZh6Tn2Mpz65u7fVZm5IaubI92E4cW540Z3a-PjHWHtx7wpgeit1-8muCsOaKte707-EIdPe1FNVvmewsaEgEL8M2aCNTDkkqrfS1qVto7Qapyo1cq1S0CTgll4g/s1600/10360388_862315213821324_570599580791994756_n.jpg

No comments: